Karibia watu wote wa Somalia ni Waislamu wanaofuata dhehebu la Sunni. Kwa zaidi ya miaka 1400, Uislamu umechukua nafasi kubwa katika utamaduni na jamii nzima ya Kisomali.[1]
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search